Kutunza kumbukumbu
Ili ufanikiwe katika ufugaji wa kuku, ni muhimu sana kulifahamu vyemi kundi la kuku wako. Ukilifahamu vema kundi lako utaweza:
Ili ufanikiwe katika ufugaji wa kuku, ni muhimu sana kulifahamu vyemi kundi la kuku wako. Ukilifahamu vema kundi lako utaweza:
Kuchagua kuku bora wa kuzalishia kwa kuangalia ubora wa wazazi wao. Kufahamu historia ya afya ya kundi, kwa mfano
- Umri ambapo vifaranga vilipata chanjo.
- Ni chanjo ya aina gani.
- Magonjwa ambayo yamewahi kushuambulia kundi, na dawa ulizotumia katika matibabu.
- ldadi ya kuku wanaokufa.
- Kukadiria kiasi cha chakula ambacho kuku wako watahitaji kwa muda fulani na aina ya chakula.
- Kujua kila siku kuku wametaga mayai mangapi.
- Kujua utahitaji muda gani kutunza kuku toka vifaranga mpaka wanapofikia kuuzwa.
Mfano wa Kumbukumbu za ufugaji wa Kuku
Kumbukumbu ya Vyakula
|
|||
Tarehe
|
Kiasi
cha Chakula
(Kilo)
|
Kundi /
Umri wa
kuku
na idadi yao
|
Maoni
(Gharama,
Kimetumika
kwa muda gani n.k.)
|
|
15
|
Vifaranga
|
|
|
|
|
|
|
25
|
Wanaokua
|
|
Jumla
|
|
|
|
Hapa utaweza kujua wastani wa matumizi ya chakula kwa idadi ya kuku na kwa kipindi husika.
Tarehe ya kuuza……………………….
Idadi iliyouzwa……………………………
Umri wa kuku wakati wa kuwauza................
Mapato kutokana na kuuza……………………
Kumbukumbu ya Kutibu Magonjwa
|
|||
Tarehe
|
Magonjwa
|
Tiba
|
Maoni (vifo, gharama nk)
|
3.7.2016
|
coccidiosis
|
teramycin
|
|
5.9.2016
|
mdondo
|
furazolidone
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Kumbukumbu hii itakusaidia kujua magonjwa yanayosumbua mara kwa mara na kwa kipindi kipi. Pia na dawa inayosaidia zaidi kwa tatizo husika.
Chanjo au Kudhibiti magonjwa
|
|||
Tarehe
|
Ugonjwa/Wadudu
|
Dawa
|
Gharama
|
6.8.2016
|
Viroboto
|
Kunyunyiza
doom powder au sevin powder
|
|
5.10.2016
|
coccidiosis
|
Amprol
katika maji, kinga dhidi ya
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Jinsi ya Kufahamu Faida Unayopata
IIi uweze kufahamu faida unayopata kutokana na ufugaji wa kuku inakupasa kutunza kumbukumbu za matumizi na mapato ya kila siku.
Kwa mfano:
Upande wa matumizi ingiza
- Gharama ya kununua vifaranga (kama walitotolewa hapo hapo nyumbani inafaa ukadirie gharama hiyo).
- Gharama ya chakula.
- Kama unatengeneza na kuchanganya wewe mwenyewe kadiria kwa kutumia bei za viungo ghafi.
- Gharama ya mafuta ya taa (kama uliwakuza vifaranga kwa joto Ia taa).
- Gharama ya kusafisha banda kubadili matandazo.
- Gharama za madawa ya kinga (chanjo) na tiba.
- Mauzo ya mayai.
- Mauzo ya kuku hai.
- Gharama ya mayai yaliyotumiwa nyumbani.
- Mauzo ya mbolea kutoka katika banda.
Kumbukumbu ya Kutibu Magonjwa
|
|||||
Tarehe
|
Matumizi
|
Sh.
|
Tarehe
|
Mapato
|
Sh.
|
|
Kununua
vifaranga
30
@ 200/=
|
6,000/=
|
|
Mauzo ya
mayai 10
@150/=
|
1,500/=
|
|
Kununua
vyakula
kilo 10
@150/=
|
1,500/=
|
|
Mayai na
kuku
waliotumiwa
nyumbani
|
7,000/=
|
|
Dawa ya
kukohoa
1500/=
Dawa ya
|
1,500/=
|
|
Mauzo ya
kuku 20
@ 4000/=
|
80,000/
|
|
Dawa ya
wadudu
1000/=
|
1000/=
|
|
Mbolea
iliyouzwa
|
|
|
……nk.
|
……nk.
|
|
……nk.
|
……nk.
|
Jumla
|
|
|
|
|
|
Baada ya kufanya mauzo yote ya kundi jumlisha matumizi yote na jumlisha na mapato yote katika kipindi kizima cha kufuga.
Ili kufahamu faida uliyopata fanya hesabu hii:
Jumla ya Mapato yote - Jumla ya Matumizi yote = Faida
Source RLDC
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni