Jumatano, 2 Novemba 2016

NA.120: UBORA NI ZAO LA MAFUNZO NA MAZOEA.


“Ubora ni zao la mafunzo na mazoea. Hatuenendi sawasawa kwavile tuna maadili au ubora, lakini tunaenenda sawasawa kwasababu tuna maadili na ubora. Kila mwanadamu yupo vile alivyo kwasababu ya mambo anayoyafanya kwa kurudia rudia. Ubora siyo tendo bali ni zao la mazoea”-Aristotle

Hakuna maoni: