NA.119: IKIWA MAISHA YAKO SASA YAMENYOOKA.
Ikiwa
maisha yako sasa yamenyooka, ni vema ukajenga bwawa la kuogelea ambalo
litakusaidia kufanya mazoezi mara kwa mara pale unapokuwa umemaliza shughuli
zako za siku. Hakuna kitu kizuri kama kuogelea baada ya shughuli nyingi. Kwani
huufanya mwili urudi kwenye hali yako ya kawaida kwa mazoezi kama hayo na pia
itakufanya ulale usingizi mzuri kama wa kitoto.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni