Ukitafuta
chochote kwa bidii ni lazima utakipata. Ukitafuta mafanikio ya tofauti na
wengine kwa hakika utayapata. Watu mashuhuri huvuta mafanikio. Ni lazima uweke
malengo yako unayoyatamani kuyafikia mbele ya mambo yote katika kila siku. Jikumbushe
matamanio yako walao mara tano kwa siku na jipe taswira ya namna ya kuyapata. Kama
lengo lako ni kuwa tajiri, pata taswira ya nyumba utakayoishi, gari utakalokuwa
unaliendesha mwenyewe, namna utakavyojisikia kama tajiri na furaha ya kuyafikia
malengo katika maisha yako. Rejea malengo yako tena na tena mpaka uhakikishe
mashaka ya kufikia malengo yako yametoweka na kwamba utapata haja yako na hapo mwishowe
itakuwa!
Kwa leo tuishie hapa na karibu tena,
\\ujasiriamaliafya
georgemtega@gmail.com; Whatsap/Telegram
(+255 625 843 804)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni